عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Ahmad Khalil Shahin

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 13

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa asili ya Pakistan sauti yake nzuri na kisoma safi.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Jabir Yusuf Katura: Amemaliza masomo yake katika chuo kikuu cha kiislam Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji na khatwib katika Msikiti wa Ijumaa Mwanza, pia ni Mudir katika Markaz ya Thaqafah, Mwanza Tanzania.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Juma Amir: Ni mlinganiaji na Khatib katika Msikiti wa Jamia Nairobi Kenya.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Misri mwenye sauti tamu, na mwenye kibali (ijaza) cha kumasomo visomo aina kumi, na ana nakala kadhaa za Qur'ani kwa riwaya mbalimbali.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Morocco kipofu Mustafa maghribi, ambae husifiwa Morocco kuwa ni sheikh wa wasomaji, alizaliwa kwenye kijiji cha Craki kiongozi wa watoto Amrah Daaira bin Ahmed wilaya ya Satat mwaka 1964.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Kazaliwa Libya, kachukua nafasi ya pili kwenye mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu unaofanyika kwanye Emirate (Dubai).

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Algeria, na yupo na Koran yenye kutegemewa na Wizara ya Mambo ya Kidini Algeria kwa upokezi wa WARSH kutoka kwa Naafi kwanjia ya Asbahaani.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Saidi Nyange:

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Morocco.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji maarufu wa Morocco.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Kiongozi wa Taasisi ya Elimu Saudi ya Qur'an Tukufu na Sayansi yake, na imamu wa msikiti wa Amiri: Abdullah bin Mohammed - Atiiq - Riyadh .

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Misri, naye ni imam na khatwibu wa msikiti wa Mujamma'a Dubai Uwekezaji.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shirzad Bin Abdul Rahman Bin Twaher Bin Hasan: Amezaliwa mwaka 1968 kaskazini mwa Iraq, amesoma kwa Mashekh mbalimbali wa Iraq miongoni mwao ni Shekh Abdullatwif Bin Khalil Aswufy, na Shekh Alhafidh Ally Bin Hasan Alwaswaby, na Shekh Alhafidh Almuqry Abdul Razaq Muhammad Umaarah, na alikua Imamu katika Misikiti mingi katika Nchi ya Iraq, Yemen na Imarat.

الصفحة : 7 - من : 1