عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Muhammad Shaaban Abuu Qarn: Ni msomaji Mmisri, amezaliwa mwaka 1984, alipata shahada yake ya tajweed na elimu ya sheria katika chuo cha Azhar.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa asili ya Bosnian, na imamu wa msikiti wa Zagreb, Croatia.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Profesa wa somo la Hadith katika Chuo Kikuu cha Dar Al Uloom katika wilaya ya Deoband India, na Rais wa Taasisi ya Wasomi India - kubwa na kongwe ya Kiislamu Hindi binafsi

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Imad Zuhair Abdulqadir Hafidh: Amezaliwa katika mji wa Madina mwaka 1382 Hijiria, akapata elimu ya udokta katika chuo kikuu cha kiislam Madina mwaka 1412 Hijiria, alikua Imamu na khatwib katika Msikiti mkuu wa Manaratayn, na Msikiti wa Qubah, na alikua Rais katika jumuiya ya kuhifadhi Qur'an tukufu katika mji wa Madina.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Jazzai Bin Flaih Alswuweylh: Amezaliwa mwaka 1969, ni mmoja kati ya wasomaji maarufu katika Nchi ya Kuwait, na alimaliza masomo yake ya sheria na Qur'an na tajweed katika chuo kikuu cha Kuwait.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Yahya Ahmed Alhalily: Amezaliwa katika kijiji cha Alhalilah katika mji wa Swana'a Yemen mwaka 1952, alijiunga na Halaqa ya kuhifadhi Qur'an tukufu katika Msikiti Mkuu wa Swana'a na akakamilisha kuhifadhi Qur'an tukufu mwaka 1962, kisha akasoma elimu ya visomo saba kwa wanachuoni tofauti mwaka 1973, na alifanya kazi ya kufundisha Qur'an tkufu tangu mwaka 1970, pia alikua Imamu na khatwib katika Msikiti mkuu wa Tahrir katika mji wa Swana'a Yemen.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa nchi ya Kuwait.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Basil Bin Abdul-Rahman al-Rawi: Amezaliwa Iraq katika mji wa Baghdad mwaka 1953, alimaliza masomo yake katika chuo kikuu cha Baghdad katika kitivo cha kanuni na siasa mwaka 1975 na alipata nafasi ya kwanza wakati huo, na wizara ya mambo ya nje ilimuomba afanye kazi kama diplomasia mwaka 1977, na akaacha kazi mwaka 1990, akashughulika na kusoma Qur'an kuihifadhi na kuifundisha.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji waki Saudi.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Mustafa Raad Al-Azzawi: Amezaliwa 19-4-1986 Adhwamiya Baghdad Iraq, alikua ni mwana chama katika jumuiya ya wasomaji wa tajweed wa Iraq na ameshiriki mashindano mengi tofauti tofauti, amefariki 26-5-2007, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    yeye ni , Ahmed bin Mohammed bin Abdullah bin Moaidh Al-hawash imam na khatwibu wa Msikiti katika mji wa Khamis mshetw ya kusini mwa Saudi Arabia, alizaliwa katika mji wa Uhudi Rafidah mwaka 1374 AH.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Alizaliwa Julai 1982 katika kijiji cha Binyati Omarwabh eneo katika North Kordofan State, Sudan, ambaye ana shahada ya kutoka kwa msomaji Sheikh wa Al-Azhar Septemba 2009.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Mahmoud Ahmad Abdulhakam: Amezaliwa siku ya jumatatu sawa na 1February 1915 katika kijiji cha Karnak, amehifadhi QUR'AN Misri katika Chuo cha Azhar, na alishiriki katika kuanzisha umoja wa wasomaji wa Qur'an, alifariki siku ya jumatatu sawa na 13September 1982, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji kutoka Misri

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Rashad Mohammed Bin Abdul Salam bin Abdul Rahman al-Sharif, alizaliwa katika mji wa Khalil Palestina mwaka 1925 M.Nanikatika wasomaji mashuhuri duniani,nanimsomaji wa msikiti mtukufu wa Aqsaa,na msikiti wa Al-ibrahimy katika mji wa Al-khalil,alihamiya jordan mwaka 2002,na alikuwa imamu katika msikiti wa mfalme Abdullah Al-Awal katika Abdali.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Amezaliwa Libanon 1966,na amepata Na ana shahada ya udaktari(PHD)katika lugha ya kiarabu,na alipata shahada ya diploma yajuu,nastashahada katika masomo ya Kiislamu (masomo utaalamu)

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Misri

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    -Shekh Nassor Khamis: Ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, na ni mtoa Darsa katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa Kenya.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Ally Zuberi: Amemaliza masomo yake kitengo cha Hadith katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji katika Mkoa wa Tanga na ni khatwib katika Msikiti wa Darul Uluum, pia ni Mudiri wa chuo cha Darul Uluum Tanga Tanzania.-