عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

    Shekh Ally Bahero: Ni miongoni mwa walinganiaji wakubwa Nchini Kenya, pia ni mwalim na ni Khatib Masjid Rahma, Bakarani Mombasa.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

    Nimlinganiaji na anajuhudi katika kufanya Daawa na nimtunzi wa vitabu.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Hilal Shaweji Kipozeo: Ni mlinganiaji maarufu katika nchi ya Tanzania, pia ni mtoa Darsa katika misikiti mbalimbali jijini Dar Es Salaam.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    Mtafiti katika jumuiya ya Mabarh AL-AL & Sahaba Kuwaiti

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 71

    Abdurahmani bin Abdallah Al-Suhaym kazaliwa katika kijiji cha Basra katika mji wa Burayda Qswim, amehitimu katika Imamu muhamad bin saud islamic University, anafanya kazi ya Daawa chini ya wizara ya mambo ya kiislam na Daawa. (The Ministry of Islamic Affairs, Endowments, Call and Guidance).

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Muhmmad Sharifu Famau: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, pia alikua ni Mudir katika Madrast Tawhid mpaka alipofariki dunia katika mji wa Malindi nchini Kenya, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

    Shekh Ahmad Al Zahran: Ni Muhadhir katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mkuu wa Da’awa katika taasisi ya World Assembly of Muslim Youth (WAMY) kwa nchi ya Tanzania, na anafanya kazi katika maktaba ya Jariyat Badia, Rayadh Saudi Arabia.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 7

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    -Shekh Salim Qahtwani: Amemaliza masomo yake ya Dini nchini Sudan, kwa sasa ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib ktika Misikiti ya Answar Tanga, pia ni mwalimu katika Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, Tanga Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    Shekh Muharam Idrisa Mwita: Amemaliza masomo yake katika kitengo cha sheria katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni msimamizi wa lugha ya kiswahili katika Tv Afrika.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 9

    Shekh Husseni Saidi Sembe: Ni mlinganiaji katika mkoa wa Kilimanjaro, na ni Imamu na Khatib katia Msikiti wa Answari Moshi Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 10

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Shekh Nassor Abdallah Bachu: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Tanzania, na alikua akitoa Darsa katika misikiti mbalimbali ndani na nje ya visiwa vya Zanzibar, pia alikua ni Imamu na Khatwib katika Msikiti wa Rahaleo Zanzibar mpaka anafariki dunia, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Abuu Khalifah Aly bin muhammad Al Qudhwayby,alikuwa katika itikida ya shia,akabadirika akawa katika itikadi sahihi ya sunna,shukurani zote niza Allah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 11