عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    قارئ, مؤلف, عدد العناصر : 29

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 31

    Sharifu Abdul Adhwiim amezaliwa Kairo mwaka 1964. Alihitimu kutoka Kitivo cha Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Cairo, Idara ya Mawasiliano mwaka 1986.Alipata shahada ya udaktari(PHD) kutoka Canada mwaka 1997. na Nimwalim Msaidizi,Kitivo cha Uhandisi Idara ya Mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Cairo, na amechukuliwa kwamuda na Chuo Kikuu cha Marekani,nimuasisi na niraisi wa Bodi ya Ujumbe Association kwa Uhisani.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 36

    Ana juhudi zake katika utafiti wa mafundisho ya itikadi za kishia

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 35

    Imamu wa Msikiti wa Makkah

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 41

    Shekh Salim Barahiyani: Amemaliza masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. na amehitimu masomo ya Masta nchini Pakistan, nimlinganiaji mashuhuri Kwa sasa ni mlinganiaji katika mji wa Tanga na ni Mudir katika Markaz za Answar nchini Tanzania.- فضيلة الشيخ سالم عبد الرحيم بارحيان، تخرج في جامعة الإمام محمد بن سعود الإسلامية، بالرياض، والماجستير في باكستان، هو مدير مركز أنصار للشباب الإسلامي في مدينة تانغا تنزانيا، فهو من الدعاة المشهورين في تنزانيا.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 42

    Shekh Hashim Rusaganya: Amehitimu masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina Nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni katika walinganiaji wakubwa Nchini Tanzania, na ni muongozaji wa Mahujaji wakati wa Hijja.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 37

    Shekh Qasim Mafuta: Amehitim masomo katika Chuo kikuu cha kiislam Madina Nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni Mlinganiaji maarufu nchini Tanzania na nje ya Tanzani, pia ni Mudir katika markazi yake, Pongwe Tanga Tanzania.-

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 75

    Shekh Shahidi Muhammad Zaid: Amehitim masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Ni mlinganiaji katika mji wa Mwanza Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 56

    Nimhitimu wa Kitivo cha Sharia,na anajihusisha na kufanya daawa kwanjia ya mitandao kwa njia ya mazungumzo na tovuti tofauti,ameanzisha tovuti nyingi za kiislam,ikiwemo : http://www.islam-guide.com na http://www.islamreligion.com,na nimwandaaji na mkusanyaji mashuhuri wa kitabu: "Mwongozo ulio fupishwa kwaajili ya kuufahamu uislam".Ambacho kimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 45 na kuchapishwa kwake mamilioni.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 47

    Ghazi bin Ali Sultan Dagestani Amehitimu masomo yake ya Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 48

    ABUU KARIIM ALMARAKISHY Nimtafiti katika kulinganisha usahihi wa dini

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 81

    Imamu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w)

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 91

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 84

    Idara ya Utafiti wa kielimu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madiana Almunawarah

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 123

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, مُراجع, عدد العناصر : 155

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, قارئ, عدد العناصر : 521

    Imamu wa Msikiti wa Mtume Mtukufu

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 159

    Ibn Qayyim Abu Abdullah al-Shams al-Din Muhammad bin Abi Bakr ibn Ayyub bin Saad bin Hariiz bin Makki Zainuddin kisha Kisha nimtu kutoka Damascus na anafuata Madhehebu ya Hanbali, anajulikana kwa jina la Ibn Qayyim Al-Jawziyya, Kazaliwa siku ya saba ya mwezi wa Safar Mwaka 691 H. Na alifariki usiku wa Alkhamisi 13/7/751 Mwenyezi Mungu amrehemu.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 157

    Imamu na khatwibu wa Muskiti mtakatifu. .

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 184

    Imamu na khatwibu wa Msikiti mtakatifu