عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    -Shekh Nurdin Kishki: Ni mlinganiaji na ni Imamu na Khatib katika Msikiti wa Vetinari Temeke Dar es salaam Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 12

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 12

    Sheikh: Zaidi Bashiri ni mmoja katika walinganiaji wa kisunna mwenyeji wa Mombasa Kenya pia ni mwanafunzi wa Sheikh: Abdallah Al-farisi Mfasiri wa Qur’ani tukufu kwa lugha ya kiswahili, nimtowaji wa mawaidha kwanjia ya Ahlu sunna wal-jamaa.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 24

    Imamu wa Msikiti Mkuu wa Makkah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 13

    Shekh Yusuf Abdi: Ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa nchini Kenya.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

    Shekh Zuberi Athumani: Amemaliza masomo yake katika kitengo cha sheria katik Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mlinganiaji maarufu nchini Burundi, pia ni khatwib katika Msikiti wa barabara ya saba Bujumbura Burundi.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 15

    Shekh Shamsi Ilmi: Ni mlinganiaji kupitia chaneli ya Tv Afrika na Redio Qiblatein Iringa, pia ni Katibu katika taasisi ya Dhinurayni nchini Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 15

    Shekh Abdurahmani Muhina: Kasoma katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Imani na Tv Afrika.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 16

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 16

    Imam wa Msikiti wa Marehemu Abdul Razak Qanbar Ansari - Mtaa wa Nakhil - Dammam

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 115

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 20

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 23

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 27

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 29

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 27

    Sheikh Abubakar Shatwiry kazaliwa mwaka 1970 م, na ameishi ktk mji wa Jidda, pia ni Imamu ktk Muskiti wa Furqan mtaa wa Nasim Jidda. kisha owa, ana watoto (4), anaitwa Baba Abdurrahman. Masomo yake: Anacho kibali cha Qur-ani Tukufu kwa upokezi wa Hafswa kutoka kwa A'swim kapokea kibali hicho kutoka kwa Sheikh Aiman Rushdi Suwaidi mwaka 1416 هـ Anayo digri ya pili ya Mahesabu ameipata mwaka 1420 هـ.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 27

    Shekh Twaha Sulaiman Bane: Amehitimu masomo yake kitengo cha sheria katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina Nchini Saudi Arabia. Ni mlinganiaji na ni Mudir katika Markaz ya Alharamayn, Dar es Salaam Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 28

    Fares Abbad: Msomaji hodari kwa sauti nzuri, na ni wa asili ya Yemen, karekodi mada ya matini za kielimu kwa sauti ukiongezea Koran kamili, na ni Imam msaidizi katika Msikiti wa Aly bin Abi Twalib katika mji wa Doha katika ukanda wa mashariki Saudi Arabia kanda.