Namna Ya Kusherehekea Iddi
Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Yasini Twaha Hassani
Maelezo
1- Makala hii inazunguzia:Maana ya Iddi na neema ya Idd ya kiislam na historia yake, faida za Iddi na umuhimu wa kumfuata mtume katika katika kufunga na nakufungua na kusherehekea Iddi.
2- Makala hii inazunguzia:Chanzo cha siku za Iddi, nakwamba Iddi ilikuja kufuta siku kuu za kijinga, ameleza kuwa siku za Iddi zimewekwa kwalengo la kumtukuza Allah.
3- Makala hii inazunguzia:Adabu za kusherehekeya sikukuu za Iddi, ikiwemo kumtii Allah, na kusimamisha swala na kuwatembelea wagonjwa, nakuwafanyia wema majirani .
4- Makala hii inazunguzia: Mambo yanayo takiwa kuachwa katika siku za Iddi, ikiwemo kujiepusha na madhambi, na kujiepusha na miziki, na wanawake kutembea uchi nk.
- 1
MP3 27.2 MB 2019-05-02
- 2
MP3 22.4 MB 2019-05-02
- 3
MP3 9.7 MB 2019-05-02
- 4
MP3 21.1 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: