• Kiswahili

    chanzo, Publisher, Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 10976

    Taasisi ya kidaawah ambayo inaendeshwa na watu waliojitolea na michango ya wahisani, imeanzishwa kwa maelekezo yaliyotolewa na Shekh Abdul-aziz Bin Abdallah Bin Bazz Mufti wa Saudi Arabia.(Allah amrehemu)

  • Kiswahili

    chanzo, Idadi ya Vipengele : 4024

    Mtandao wa satellite wa chanel za Tv Africa, Nimkusanyiko wa tv za kislam, zinazo rusha matangazo yake kwa lugha tofauti za Africa, ujumbe wa chanel hizo : -Nikuleta Taadhira nzuri katika jamii. -Nikuyatambulisha uzuri wa uislam na sheo chake. - Kuhifadhi tabiya njema za uislam. Yote hayo nikupitiya vipindi vinavyo onyeshwa ambavyo nimuhimu katika maisha, na vinakidhi mahitaji tofauti ya kibinadamu. -nikuitika mahitaji ya mtazamaji.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 3523

    Muhammad Salih Al-Munajjid nimsimamizi wa tovuti tofauti za kiislam zinafikia 8.alianzisha tovuti ya kiislam swali na jibu (www.islam.ws) mwaka 1996. Kazi bado inaendelea ambapo kwa sasa ni (www.islamqa.com)

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1894

    Ni Abuu Abdillah Muhammad Ibn Swaleh bin Swaleh bin Sulaiman bin Abdul Rahman bin Othman bin Abdullah bin Abdulrahman bin Ahmed bin Muqbil katika Ali Muqbil katika Al Raes Al Wahbiy AlTamimi, na Babu yake wa nne Othman ndie alie itwa Uthaymeen, akajulikana kwa jina hilo, nae nikatika kizazi cha Wahb katika ukoo wa Tamiim , kutoka katika sehemu inaitwa Alwashmu mpaka Unayzah.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 1751

    Shekh Abdul Aziz bin Abdullah bin Baaz Mufti wa Ufalme wa Saudi Arabia, na nimkuu wa wanachuoni waandamizi,saudi arabia,alizaliwa 12/1330 H Riyadh,na amefariki alkhamisi 27/1/1420 H,na tovuti ya shekh ni: www.binbaz.org.sa

  • Kiswahili

    Mwenye kufanya Marejeleo, Mtunzi, Mkarimani, Idadi ya Vipengele : 1097

    Shekh Abubakari Shabani Rukonkwa: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni msimamizi wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni mlinganiaji katika chanel ya TV Africa na ni Khatwibu katika misikiti ya Answar Tanga Tanzania.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Publisher, Idadi ya Vipengele : 731

  • Kiswahili

    chanzo, Publisher, Idadi ya Vipengele : 449

    Malengo ya wizara na siasa zake: 1-Kukitumikia kitabu cha Mwenyezi Mungu, kukisoma, kukihifadhi, kukifaham na kukisambaza. 2-Kuwalingania watu katika uislam na kuwaongoza katika kheri na kuilinda heshima maadili ya uislam. 3-Kusaidia nchi zenye waislam na walinganiaji wachache na taasisi za kiislam duniani. nk.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mkarimani, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 606

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 592

    Mjumbe wa Baraza la Wasomi Wakubwa katika nchi ya Saudi Arabia

  • Kiswahili

    Mtunzi, Msomaji, Idadi ya Vipengele : 452

  • Kiswahili

    Mkarimani, Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 359

    Sheikh Yasini Twaha Hassani Mwenyeji wa Kigoma nchini Tanzania Mlinganiaji wa Dini ya Kiislam kasoma chuo kikuu nchini Saudi arabia (Riyadh) Elimu ya Sheria kitengo cha (usuluddin) pia nimfasiri wa vitabu vya kiarabu kwa lugha ya kiswahili, na muhadhiri katika TV Afrika swahili, na Imamu na khatwibu wa masjid Answar sunna Mwanga Kigoma mjini nchini Tanzania.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 350

    Abu Ameenah Bilal Philips alizaliwa katika Jamaica,Na kukulia katika Canada ambapo yeye alitangaza uongofu wake kwa Uislamu mwaka 1972.Alikamilisha Stashahada kutoka Kitivo cha Kiarabu workouts Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina almunawara mwaka 1979.Na alikamilisha shahada ya bwana katika dini kutoka Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Riyadh, Chuo cha Elimu mwaka 1985.Katika masomo ya Kiislamu Idara katika Chuo Kikuu cha Wallis,Kukamilika udaktari katika misingi ya Kiislamu mwaka 1994. Mwaka 1994, Dk Bilal alianzisha Kituo cha Habari cha Kiislamu katika mji wa Dubai,katika Falme za Kiarabu, na sasa kinajulikana Discover Islam. Kama alivyo anzisha kitengo cha fasihi ya kigeni katika House press Sharjah Islamic conquest.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 414

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 289

    Ni shekh Abdul Rahman bin Abdul Karim Sheihah Alizaliwa katika mji wa Riyadh, Saudi Arabia mwaka 1958.Kiwango chake cha elimu:Elimu ya kati na sekondari kasoma katika Taasisi ya elimu kwa elimu za sheria na kiarabu Riyadh. • ana shahada ya chuo kikuu katika lugha ya Kiarabu na fasihi mwaka 1982.Yeye ana shahada ya bwana katika masomo ya Kiislamu katika 2004.Yeye ana shahada ya udaktari katika utamaduni wa Kiislamu mwaka 2009.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mkarimani, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 228

    Shekh Yunus Kanuni Ngenda: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mhakiki wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni Imamu na Khatwib Masjid Rahman, Mbezi Beach Dar Es Salaam Tanzania.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 325

    Yeye ni Sheikh Muhammad bin Abdul-Wahhab bin Sulaiman A'ttamiymy, kazaliwa mwaka 1115هـ katika mji wa Uyaina Najdi katika Jazira ya kiarabu, ana vitabu vingi, na wameshuhudia juu yake wanachuoni kwa Elimu na Dini na Msimamo, na amefariki mwaka 1206 هـ Mwenyezi Mungu amrehemu akiwa na myaka 91

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 202

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Msomaji, Idadi ya Vipengele : 215

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    Mwenye kufanya Marejeleo, Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 188

Ukurasa : 8 - Kutoka : 1