عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, مؤلف, عدد العناصر : 9759

    Taasisi ya kidaawah ambayo inaendeshwa na watu waliojitolea na michango ya wahisani, imeanzishwa kwa maelekezo yaliyotolewa na Shekh Abdul-aziz Bin Abdallah Bin Bazz Mufti wa Saudi Arabia.(Allah amrehemu)

  • سواحيلي

    مصدر, عدد العناصر : 4024

    Mtandao wa satellite wa chanel za Tv Africa, Nimkusanyiko wa tv za kislam, zinazo rusha matangazo yake kwa lugha tofauti za Africa, ujumbe wa chanel hizo : -Nikuleta Taadhira nzuri katika jamii. -Nikuyatambulisha uzuri wa uislam na sheo chake. - Kuhifadhi tabiya njema za uislam. Yote hayo nikupitiya vipindi vinavyo onyeshwa ambavyo nimuhimu katika maisha, na vinakidhi mahitaji tofauti ya kibinadamu. -nikuitika mahitaji ya mtazamaji.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1985

    Ni Abuu Abdillah Muhammad Ibn Swaleh bin Swaleh bin Sulaiman bin Abdul Rahman bin Othman bin Abdullah bin Abdulrahman bin Ahmed bin Muqbil katika Ali Muqbil katika Al Raes Al Wahbiy AlTamimi, na Babu yake wa nne Othman ndie alie itwa Uthaymeen, akajulikana kwa jina hilo, nae nikatika kizazi cha Wahb katika ukoo wa Tamiim , kutoka katika sehemu inaitwa Alwashmu mpaka Unayzah.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 1826

    Shekh Abdul Aziz bin Abdullah bin Baaz Mufti wa Ufalme wa Saudi Arabia, na nimkuu wa wanachuoni waandamizi,saudi arabia,alizaliwa 12/1330 H Riyadh,na amefariki alkhamisi 27/1/1420 H,na tovuti ya shekh ni: www.binbaz.org.sa

  • سواحيلي

    مُراجع, مؤلف, مترجم, عدد العناصر : 1327

    Shekh Abubakari Shabani Rukonkwa: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni msimamizi wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni mlinganiaji katika chanel ya TV Africa na ni Khatwibu katika misikiti ya Answar Tanga Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, ناشر, عدد العناصر : 742

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 328

    Malengo ya wizara na siasa zake: 1-Kukitumikia kitabu cha Mwenyezi Mungu, kukisoma, kukihifadhi, kukifaham na kukisambaza. 2-Kuwalingania watu katika uislam na kuwaongoza katika kheri na kuilinda heshima maadili ya uislam. 3-Kusaidia nchi zenye waislam na walinganiaji wachache na taasisi za kiislam duniani. nk.

  • سواحيلي

    مؤلف, مترجم, مُراجع, عدد العناصر : 596

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 575

    Mjumbe wa Baraza la Wasomi Wakubwa katika nchi ya Saudi Arabia

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 465

  • سواحيلي

    مترجم, مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 361

    Sheikh Yasini Twaha Hassani Mwenyeji wa Kigoma nchini Tanzania Mlinganiaji wa Dini ya Kiislam kasoma chuo kikuu nchini Saudi arabia (Riyadh) Elimu ya Sheria kitengo cha (usuluddin) pia nimfasiri wa vitabu vya kiarabu kwa lugha ya kiswahili, na muhadhiri katika TV Afrika swahili, na Imamu na khatwibu wa masjid Answar sunna Mwanga Kigoma mjini nchini Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 324

    Abu Ameenah Bilal Philips alizaliwa katika Jamaica,Na kukulia katika Canada ambapo yeye alitangaza uongofu wake kwa Uislamu mwaka 1972.Alikamilisha Stashahada kutoka Kitivo cha Kiarabu workouts Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina almunawara mwaka 1979.Na alikamilisha shahada ya bwana katika dini kutoka Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Riyadh, Chuo cha Elimu mwaka 1985.Katika masomo ya Kiislamu Idara katika Chuo Kikuu cha Wallis,Kukamilika udaktari katika misingi ya Kiislamu mwaka 1994. Mwaka 1994, Dk Bilal alianzisha Kituo cha Habari cha Kiislamu katika mji wa Dubai,katika Falme za Kiarabu, na sasa kinajulikana Discover Islam. Kama alivyo anzisha kitengo cha fasihi ya kigeni katika House press Sharjah Islamic conquest.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 481

  • سواحيلي

    مؤلف, مترجم, مُراجع, عدد العناصر : 252

    Shekh Yunus Kanuni Ngenda: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mhakiki wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni Imamu na Khatwib Masjid Rahman, Mbezi Beach Dar Es Salaam Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 332

    Yeye ni Sheikh Muhammad bin Abdul-Wahhab bin Sulaiman A'ttamiymy, kazaliwa mwaka 1115هـ katika mji wa Uyaina Najdi katika Jazira ya kiarabu, ana vitabu vingi, na wameshuhudia juu yake wanachuoni kwa Elimu na Dini na Msimamo, na amefariki mwaka 1206 هـ Mwenyezi Mungu amrehemu akiwa na myaka 91

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 202

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, قارئ, عدد العناصر : 214

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مُراجع, مؤلف, عدد العناصر : 194

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 221

    Saad bin Saeed Al-Ghamdi, Msomaji maarufu mwenye sauti nzuri, imam na mhubiri msikiti wa Kano - Dammam - Saudi Arabia, na msimamizi mkuu wa kituo cha Imam Shatwiby cha Koran tukufu Dammam.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 160

    Mwana chuoni Shekh Muhammad Nasiruddin Al-Albani ni mmoja ya wanachuoni wa kiislam Mashuhuri katika zama za sasa na anazingatiwa Shekh Al-Albani nikatika wanachuoni wa Fani ya Hadithi mashuhuri wakipekee katika elimu ya Jarhi na Taadili (Kukosowa), Shekh Al-Albani ni Hoja katika Elimu ya Misingi ya Hadithi (Mustwalahu Alhadithi), walimzungumzia wanachuoni wa fani ya Elimu ya Hadithi kwamba Shekh Al-Albani alirudisha fani ya Hadithi katika zama za Ibn Hajar Al- Asqalan, na Alhafidh Ibn Kathir na wenginewe katika wanachuoni wa Fani ya Jarhi na Taadili. Jejea :Tovuti ya Imamu Al-Albani.http://www.alalbany.net

الصفحة : 8 - من : 1