Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 32

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 32

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kutemea mate katika kisima cha Anasi bin Maliki (r.a) maji yale yakawa matam kuliko visima vote vya Madina, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) kwa Ukasha (r.a) wa kubadilisha mti kugeuka upanga vitani.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: