Qauli yenye faida 15 Mwongozo katika kutekeleza Ibada ya Hijja

Qauli yenye faida 15 Mwongozo katika kutekeleza Ibada ya Hijja

Mhadhiri :

Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa

Maelezo

Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo ya tano za Uislam, pia ameeleza muda na wakati wa kuhiji, na mwongozo katika kutekeleza ibada hiyo, pia amewatahadharisha mahujaji kuingia katika shirki wakati wa kutembelea mji mtukufu wa Madina.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: