Mambo Matatu Yamfuatayo Maiti
Mhadhiri : Swalehe Ibrahim
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Mada hii inazungumzia: mambo matatu yanayo mfuata maiti baada yakufa ikiwemo watu wake na mali yake na matendo yake, vyote vitarudi ila matendo yake, hakika matendo mazuri ndio rafiki yako kaburini.
- 1
MP3 28.9 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: