Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 47
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Maneno mazito ya Mtume (s.a.w) aliyosema akiwa Arafa katika Hijja yake ya mwisho, alisema ichukueni elimu kabla haijaondoka, pia imezungumzia umuhimu wa kushikamana na Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w).
Utunzi wa kielimu:
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 184.7 MB 2019-05-02
- 3
MP3 53 MB 2019-05-02
Follow us: