Kwanini Hatusherehekei Maulidi
Wahadhiri : Qasim Mafuta - Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
1. Mada hii inazungumzia: Kwa mujibu wa Uislamu pamoja na mahji ya Ahlu Sunna wal Jamaa, Kusherehekea Maulidi hayakuwepo na ni Uzushi.
2. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Bidaa ( Uzushi ) kilugha na kisheria, pia imeelezea hatari ya Uzushi.
3. Mada hii inazungumzia: Maulidi ni Bidaa dhwalaalah (Uzushi na upotovu), pia imeelezea namna wazushi wasivyo na hoja na wanafuata matamamnio ya nafsi zao.
4. Mada hii inazungumzia: Uzushi wa kusherehekea Maulidi umenzishwa mwanzoni mwa karne ya sita.
- 1
Kwanini Hatusherehekei Maulidi - 1
MP3 33.9 MB 2019-05-02
- 2
Kwanini Hatusherehekei Maulidi - 2
MP3 9.29 MB 2023-19-12
- 3
Kwanini Hatusherehekei Maulidi - 3
MP3 9.29 MB 2023-19-12
- 4
Kwanini Hatusherehekei Maulidi - 4
MP3 4.84 MB 2023-19-12
Utunzi wa kielimu: