Bid’a ya Maulidi
Wahadhiri : Qasim Mafuta - Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
1. Mada hii inazungumzia: Namna watu wa Maulidi walivyo waelewa vibaya wana chuoni na kuwasingizia uongo.
2. Mada hii inazungumzia: Maulidi ni Bidaa kwasababu Mtume s.a.w hakufanya, kwahiyo kuacha kufanya Maulidi ni Sunna na kufanya ni Bidaa.
3. Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya Bidaa na Sunna, pia imefafanua maana Sunnat Hasanah.
4. Mada hii inazungumzia: Ukweli aliouzungumza Sheikhul Islam Ibn Taymiyah kuhusu Maulidi, na uzushi anaozushiwa.
5. Mada hii inazungumzia: Ibn Taymiyah hajesema kuwa Maulidi inafaa kama wanavyodai Wazushi ( Watu wa Bidaa ).
6. Mada hii inazungumzia: Uharamu wa kusikiliza Samai za Masufi, na wala haifai kujifunza kupiga zomari.
- 1
MP3 19.4 MB 2019-05-02
- 2
MP3 13.3 MB 2023-18-12
- 3
MP3 14.54 MB 2023-18-12
- 4
MP3 34.98 MB 2023-18-12
Utunzi wa kielimu: