SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 2

SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 2

Mhadhiri :

Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa

Maelezo

Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea Msingi wa kwanza kwamba kuamini Rububiyah hakumfanyi mtu kuwa Muislam, na wa pili, kwamba Maquraishi walikuwa wakiabudu masanamu ili yawakuribishe kwa Allah.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: