Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 116

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 116

Maelezo

Mada hii inaelezea: Miongoni mwa sababu za mtu kuacha kwenda kuswali Swala ya jamaa ni khofu, maradhi na mvua nk. Pia imeelezea ubora na fadhila za Misikiti, wa kwanza ni Msikiti wa Makkah kisha Msikiti wa Madina.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi