Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 157

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 157

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Yanayo paswa kwa muislam anapo kwenda kuswali idi, kwamba anatakiwa afanye takbira tangu anatoka kwake na akifika kwenye mswala, na hakuna swala ya suna kabla au baada, na hakuna adhana wala iqama.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi