Qauli yenye faida 04 Maana ya Shahada ya kuwa Muhamad ni mjumbe wa Allah

Qauli yenye faida 04 Maana ya Shahada ya kuwa Muhamad ni mjumbe wa Allah

Mhadhiri :

Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa

Maelezo

Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya shahada ya pili ambayo ni Shahada ya kuwa Muhamad ni mjumbe wa Allah. Maana yake na dalili za uwajibu wa kumfuata Mtume.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: