Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani
Mhadhiri : Abuu Bilal Athumani Bun Nouman
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Mada hii inazungumzia mambo yaliomo katika ramadhani,na mambo yanayo takiwa kabla ya ramadhani,na yanao paswa kwa muislam baada ya kuonekanwa kwa mwezi,na uharamu wa kufunga siku ya shaka.
- 1
Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani
MP3 31.9 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: