Adabu Za Kula Chakula
Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
• Mada hii inazunguzia Sunna Adabu za chakula na tofauti zao katika kupata rizki na hukumu za bismilahi katika kula.
• Mada hii inazunguzia Adabu za kula na hukumu ya kudhihirisha bismilahi,na hukumu ya kuacha bismilahi.
• Mada hii inazunguzia Adabu za kula chakula na hukumu ya kulamba chakula na ubora wake.
• Mada hii inazunguzia Adabu za chakula,makatazo zakula chakula cha moto,na kupuliza chakula,nakukitia aibu chakula,nakula kwa mkono wa kulia.
- 1
MP3 14.8 MB 2019-05-02
- 2
MP3 9.5 MB 2019-05-02
- 3
MP3 8.6 MB 2019-05-02
- 4
MP3 14.8 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: