Mapokezi Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani
Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Yasini Twaha Hassani
Maelezo
1- Mada hii inazungumzia jinsi ya kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwemo kusafisha moyo na machafu na kuwasamehe walio tukosea, pia miongoni mwa mapokezi ya Rmadhani ni kuisoma Fiqhi ya swaumu.
2- Mada hii inazungumzia jinsi ya kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwemo kujitwaharisha na shirki na kuwaidhika kutokana na maumbile ya mwanadamu, na maradhi yanayo wapata wanadamu, pia amezungumzia umuhimu wa kuhifadhi swala tano.
3- Mada hii inazungumzia jinsi ya kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwemo uwajibu wa kujihifadhi na najsi katika nguo na mwili na sehemu ya kuswalia, na uhatari wa kuto kuhifadhi na haja ndogo na kuwachonganisha watu.
- 1
Mapokezi Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani 1
MP3 24.1 MB 2019-05-02
- 2
Mapokezi Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani 2
MP3 23.4 MB 2019-05-02
- 3
Mapokezi Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani 3
MP3 25.1 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: