Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W)
Mhadhiri : Abuu Musa Abubakari Musa Kiza
Kurejea: Yunus Kanuni Ngenda
Maelezo
1- Mada hii inazungumzia: Sifa za Ghurabaa waliotajwa na Mtume (s.a.w), kwamba ni wale wanaotengeneza pindi watu wanapo haribu, pia imezunguzia Ghurabaa ni wale wanao shikamana na Manhaji ya Mtume (s.a.w).
2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sifa za Ghurabaa ni kushikamana na Sunna na kuthibiti katika haki na kujiepusha na mambo ya batili, bid’a na uzushi, pia imezungumzia umuhimu wa kusoma na kuujua uislam.
Utunzi wa kielimu:
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi
- 1
Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 1
MP3 5.1 MB 2019-05-02
- 2
Sifa Za Ghurabaa Aliowataja Mtume (S.A.W) 2
MP3 4.2 MB 2019-05-02
Follow us: