Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 48
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni ule wa kulia machozi nguzo ya mtende wakati Mtume (s.a.w) alipokua akitoa khutba katika Msikiti wa Madina, pia imezungumzia kuwa Mtume (s.a.w) ndiye mwenye miujiza mingi kuliko mitume wote.
Utunzi wa kielimu:
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 190.9 MB 2019-05-02
- 3
MP3 54.8 MB 2019-05-02
Follow us: