Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 01
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 183.7 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.4 MB 2019-05-02