Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 01

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 01

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi