Janga la madawa ya kulevya
Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Shahidi Muhamad Zaid
Maelezo
Mada hii inazungumzia Maada ya pombe na hukumu ya kutumia na kuuza pombe, kisha amebainisha kuwa madawa ya kulevya ni katika yana hukumu ya pombe, na ameelezea madhara ya madawa ya kulevya kiafya kidini na kijamii na kwamba pombe ni mama wa Machafu.
- 1
MP3 17.7 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: