Zama Za Fitna Na Jinsi Ya Kujiepusha

Maelezo

• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho.
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika zama za fitna,na hasara ya kufanya mambo kwa jazba
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na aina za utawala baada ya Mtume s.a.w, na ujumbe aliouacha Mtume s.a.w kuhusu utawala baada yake.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: