Ubora Wa Kumtaja Mwenyezi Mungu
Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Yunus Kanuni Ngenda
Maelezo
1- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah na umuhimu wa kula kwa mkono wa kulia
2- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri Na malipo ya mwenye kufanya Dhikri.
3- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri kama alivyotufundisha Mtume (S.a.w)
4- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah, na asiyemtaja Allah ni sawa na mtu aliyekufa (Maiti)
- 1
Ubora Wa Kumtaja Mwenyezi Mungu No 1
MP3 13.3 MB 2019-05-02
- 2
Ubora Wa Kumtaja Mwenyezi Mungu No 2
MP3 7.9 MB 2019-05-02
- 3
Ubora Wa Kumtaja Mwenyezi Mungu No 3
MP3 10.6 MB 2019-05-02
- 4
Ubora Wa Kumtaja Mwenyezi Mungu No 4
MP3 10.7 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: