معلومات المواد باللغة العربية

Kundi la Wanafunz - Vitabu

Idadi ya Vipengele: 1

  • Kiswahili

    Hii ni Risala kwa ufupi ikibainisha mambo amabyo yanayo pasa kwa Mwanadamu kujifunza na kuyaamini, katika mambo ya Tawhidi na misingi ya dini na baadhi ya mambo ambayo yanayo ambatana nayo, ambayo yamechukuliwa kutoka katika vitabu vya itikadi za maimamu wanne: Imamu Abuu Hanifa na Imamu Maliki na Shafy na Imamu Ahmad Bin Hambal na wafuasi wao Mwenyezi Mungu awarehemu na wale walio jikusanya katika itikadi ya Ahlusunnahh waljamaa na hawakuhitalafiana.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1