Idadi ya Vipengele: 69
22 / 4 / 1435 , 23/2/2014
MADA HII INAZUNGUMZIA UWAJIBU NA UBORA WA KUITUMIKIA DINI NA MALIPO ATAKAYO PATA ATAKAE KUFA KATIKA KUITUMIKIA DINI YA UISLAM.
MADA HII INAZUNGUMZIA JINSI YA KUUPOKEA MWEZI WA RAMADHANI NA YANAYO PASA KWA KILA MUISLAM KUYAJUWA KABLA YA MWEZI WARADHANI KUMFIKIA.
23 / 2 / 1435 , 27/12/2013
Mada hii imezungumzia Utukufu wa siku kumi za mfungo tatu na ubora wa kufanya ibada katika siku hazo.
Mada hii inazungumzia ubora wa swaumu ya ashuraa na utukufu wa allah wa kusamehe madhambi katika siku ya ashura.
22 / 2 / 1435 , 26/12/2013
Mada hii inazungumzia kuchinja na hukumu yake na hukumu ya kuchinja kwaajili ya mizimu na na mashetani ao makaburi.
Mada hii inazungumzia hukumu ya kusherehekea Chrismas na mwaka mpya na kupeyana zawadi ao kupongezana.
15 / 5 / 1435 , 17/3/2014
Mada hii imezungumzia hisrotia ya uislam katika nchi za Africa mashariki na namna uislam ulivyo ingia Africa.
Mada hii inazungumzia uhusiano wa africa na uislam,na watu wakwanza walio leta uislam africa mashariki,na ukarimu wa watu wa afrika mashariki.