Idadi ya Vipengele: 2
22 / 2 / 1435 , 26/12/2013
Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.
23 / 2 / 1435 , 27/12/2013
Mada hii inazungumzia ruqya ya kisheria na jinsi ya kutowa majini, na vipi jinni anaweza kumuingia mtu na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.