Khutba hii inazungumzia miezi mitukufu na ubainifu wake kwa majina,na malipo ya mwenye kutenda mema na maovu,na sababu ya kuitwa miezi hiyo,namatendo mema aliyo tuongoza mtume tuyafanye.
Mada hii inazungumzia ugonjwa wa ukimwi (HIV)niadhabu kutoka kwa Allah ao nimaradhi? na niipi tiba ya ukimwi baada ya kumsibu mwanadamu na kabla ya kumsibu mtu.