Idadi ya Vipengele: 4
5 / 6 / 1435 , 6/4/2014
Khutba hii inazungumzia hali ya wanao abudu makaburi na hukumu ya kuabudu makaburi.
14 / 11 / 1435 , 9/9/2014
Khutba hii inazungumzia uhatari wakula riba na milango ya riba na adhabu za mla riba na uharamu wa kuwekeza katika mabenki ya riba na namna wanavyo patwa watu na vumbi la riba,na adhabu za mla riba.
Khutba hii inazungumzia uadilifu katika dini na fadhila za kufanya uadilifu.
Khutba hii inazungumzia thamani ya undugu katika uislam na ubora wakuwa ndugu.