معلومات المواد باللغة العربية

Yunus Kanuni Ngenda - Video

Idadi ya Vipengele: 137

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya kuumbwa kwa Mama yetu Hawa (a.s), pia imezungumzia namna Babayetu Adamu na Hawa walivyo shawishiwa na ibilisi peponi.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Safari ya mwisho na maana yake na kwamba kila safari lazima iwe na mwanzo, pia imeelezea historia fupi ya kuumbwa kwa Nabii Adam.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akila chakula na Maswahaba wake na chakula kile kikawa kinamtaja Allah, pia imezungumzia muujiza wa mbwa mwitu kutoa habari za Mtume Muhammad (s.a.w) kwa mchunga mbuzi.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotekea wakati wa kukidhi haja katika jangwa la Afiyah, pia imezungumzia muujiza ambao jiwe lilikua likimtolea salam Mtume (s.a.w) kabla ya kupewa utume.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni mti kushuhudia kuwa Allah ni mmoja na Muhammad (s.a.w) ni Mtume wa Allah mbele ya Bedui (Mwarabu wa mashambani), pia imezungumzia vitimbi alivyofanyiwa Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia:, ufafanuzi wa muujiza uliotokea katika sulhul-hudeybia, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kutemea mate katika kisima kilichokuwa kime kauka maji na maji yakajaa.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ni kwa Mitume wa Mwenyezi Mungu na imebainisha tofauti kati ya karama na uchawi, na kwamba karama inakua kwa mtu mwema na uchawi ni kwa mtu muovu, pia inazungumzia miongoni mwa dalili za miujiza.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Mapenzi ya Allah juu ya waja wake na kwamba siku ya Arafa ni sababu ya waja kurudi kwa Mola wao pamoja na kulia sana, pia imezungumzia siku ya Arafa Allah anakuwa karibu na waja wake.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Ubora wa siku ya Arafa na kwamba ni siku ya kutubia na kuomba dua pamoja na kufanya tasbihi sana, pia imezungumzia umuhimu wa kuwa na yakini na kuto kata tamaa kwani Rehma ya Allah ni pana.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Nguzo za Hijja na yaliyo wajibu kufanya katika Hijja, pia imezungumzia aina za Hijja na yanayo fungamana nazo.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Inazungumzia maana ya Arafa na Aya iliyoshuka kwa Mtume (s.a.w) alipokuwa Arafa, pia imezungumzia Arafa ni siku ambayo watu wanaachwa huru na moto.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Fadhila za Hijja na mapenzi ya Allah kwa waja wake na kwamba mwenye kufanya Hijja ya kweli malipo yake ni pepo, pia imezungumzia Hijja ni mazingatio kwa waja ili watu wasibaguane na wala wasidharauliane.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Wakati ambao mwenye kufunga akiomba dua anajibiwa na Allah, na inazungumzia pia ubora wa kumuomba na kumtegemea Allah (S.w)

  • Kiswahili

    Mada hii inazunguzia: Matunda ya malezi bora, pia imezungumzia kisa cha Sayyid Bin Museyyib alipokataa posa ya Abdul Maliki Bin Marwani kwa binti yake.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Maswahaba aina saba waliosifiwa na Mtume (S.a.w) akiwemo wa nne ni Ubayya Bin Kaab (R.a),mtaalam wa kusoma Quraan, na Zaid Bin Thabit mjuzi wa elimu ya mirathi,na Muadh Bin Jabal mtaalam wa halali na haram,na Abuu Ubaydah mwaminifu wa Umati Muhamad.