Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa fadhila za udhu na umuhimu wa kusoma na kujua alivyotawadha Mtume (s.a.w), pia imezungumzia ubora wa rakaa mbili Sunnat Al-wudhuu.
Mada hii inazungumzia: Namna Mtume (s.a.w) alivyo wapigia Maswahaba mifano ya njia Peponi naya Motoni, pia imezungumzia uwajibu wa kuizuia nafsi kufanya maasi.