MIMI NI MUISLAMU
Mwandishi :
Msambazaji:
Maelezo
Makala hii imebainisha maana ya Uislamu, na ni nani Muislamu, na vipi utakuwa Muislamu wa kweli, kama ilivyosheheni kwa kutaja uzuri wa Uislamu na baadhi ya adabu na tabia za hali ya juu, na nafasi ya mwanamke, na haki za ndugu wa karibu na jirani na jamii, inabainisha kuwa Uislamu unaamrisha na unaita watu kwenye kila jambo zuri, na haukatazi isipokuwa kila kilicho kibaya.
- 1
PDF 2.88 MB 2025-22-09
Utunzi wa kielimu: