Kujua kuhusu Uislamu
Idadi ya Vipengele: 8
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Kujua kuhusu Uislamu
- Lugha zote
- Afar
- Akani
- Albanian
- Amharic
- Aymara
- Balochi
- Bengali
- Bosnian
- Bulgarian
- China
- Gamukhia
- German
- Hausa
- Igbo
- Indonesian
- Italian
- Kannada
- Karmanji
- Kazakh
- Kiarabu
- Kibambari
- Kifaransa
- Kifilpino(tagalogo)
- Kifula
- Kifurusi
- Kiganda
- Kihindi
- Kinepali
- Kingereza
- Kireno
- Kiswahili
- Kitigrinya
- Kituruki
- Kivetinam
- Korean
- Kurdish
- Lao
- Madagascar
- Malayalam
- Mori
- Oromo
- Pashto
- Quechua
- RUSIA
- Romanian
- Sango
- Serbian
- Sinhalese
- Somalia
- Sonnki
- Spanish
- Tajik
- Tamasheq
- Tamazight
- Terugu
- Thai
- Turkmani
- Urdu
- Uyghur
- Uzbek
- Wolof
- Yoruba
- Yoruba
- showall Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu katika uislam amezungumzia maana ya haki na umuhimu wa kujuwa haki za binadamu na ulazima wa kuzilinda, pia ametaja haki tano katika Quraan kwa ujumla. • Mda hii inazungumzia: maana ya binadamu na maana ya uislam, na ametaja mafundisho ya uislam kuhusu haki za binadamu. • Amezungumza kuwa uislam ndio wakwanza kufundisha haki za binadam, Haki ya kwanza (Haki ya kuishi). • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kujiua na niharam kutumia kitu ambacho kitamsababishia kifo, kama kuvuta sigara na pombe nk, pia amezungumzia haki ya pili (Kulinda mali za watu) na uharam wa kudhulumiana. • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kudhulumiana na chanzo chake, pia amezungumzia uharam wa kula riba na njama za nchi zilizo endelea katika kula riba, pia kazungumzia uharam wa kula rushwa, na dhulma nimaradhi yanayo ambukiza. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo mwanamke kuheshimiwa utu wake, amebainisha hali ya mwanamke kabla ya uislam, na jinsi uislam ulivyo linda heshima ya mwanamke, kabainisha jinsi mwanamke anavyo dhalilisha mwanamke katika karne ya 21. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo haki ya kuabudu, na amebainisha kuwa hakuna kulazimishana, kasha akataja hali ya ulinganiaji wakati wa mtume na uongo wa wale wanao sema uislam ulienezwa kwa upanga, bali uislam uliingia kwa hoja zenye nguvu. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu nayo nihaki ya mwanadamu kuwa huru, na msingi wa uhuru wa binadamu, ambayo inatolewa katika maneno ya Omar bin Khatwabi (r.a).
- showall Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.
- showall Mhadhiri : Hilal Sheweji Kipozeo Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea namna jamii ilivyo vurugika na uislam ndio dini pekee ya kuweza kubadisha maadili.
- showall Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Muhadhara huu unazungumzia uislam,historia ya uislam. na ujumbe wa mwanadamu,na dini ya haki kwa allah,na chanzo cha kukengeuka mwanadamu,na wito wa uislam kwa ulimwengu.
- showall Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.
- showall Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Daraja za jihadi, ni wakati gani jihadi inakuwa ni lazima, vievile inazungumzia maneno ya wanachuoni kuhusu jihadi.
- showall Mhadhiri : Ahmad Al Zahran Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia uhakika wa Nabii Issa ndani ya Qur’an tukufu, na katika Biblia, na sababu ya kupandishwa Mbinguni.
- showall Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia uislam nidini ya kati nakati,yani nidini ya uadilifu, na namna uislam ulivyo piga vita ghuluu.mifano ya uadilifu wa mtume(s.a.w)na tofauti baina ya uislam na dini zingine potovu.