• Kiswahili

    Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.

  • Kiswahili

    Mada hii inazunguzia Mipaka ya kuheshimiyana baina ya waislam.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Juma Amir Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa

    Mada hii inazungumzia uhusiano wa africa na uislam,na watu wakwanza walio leta uislam africa mashariki,na ukarimu wa watu wa afrika mashariki.

  • Kiswahili

    Umegundua uzuri wake wa kweli

  • Kiswahili

    Nani alie ni umba ? Na kwa nini ?. Maudhui zilizondani: 1. Maana ya Uisilamu. 2. Misingi mikuu ya Uisilamu:         - Kumuamini Allah Muumba wa kila kitu.         - Kuamini Mitume wote.         - Kuamini Vitabu vitukufu vyote.         - Kuamini Malaika.         - Kuamini Siku ya mwisho.         - Kuamini Kadari ya heri na ya shari. 3. Imani ya Uisilamu juu ya Isa mwana wa Maryamu. 4. Uisilamu si wa tabaka la watu maalumu, bali ni wa kila mtu. 5. Je kusilimu ni hiyari yake mtu? 6. Kusilimu ni vipi?

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1