Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi