- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Shirki
- Ukafiri
- Unaafiki
- Uislamu
- Mambo ya Imani
- Imani
- Ihsani (Wema)
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Reform Movements
- Books on Islamic Creed
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Hukumu ya Swala
- Adhana na Iqama
- Nyakati za Swala Tano
- Masharti ya Swala
- Nguzo za Swala
- Yalio wajibu katika Swala
- Sunna za Swala
- Sifa ya Swala
- Nyiradi za Baada ya Swala Tano
- Yanayo Batilisha Swala
- Swala ya jamaa
- Sijida ya Kusahau
- Prostration of Recitation
- Prostration of Gratitude
- masharti ya Uimamu
- Swala za watu wenye udhuru mbali mbali
- Friday Prayer
- Supererogatory Prayers
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu ya Muskiti wa Makkah
- Mipaka
- Kuhirimia
- Namna za Ibada
- Sifa ya Umra
- Sifa ya Hijja
- Deputizing in Pilgrimage
- Disability or Falling Short of Completing Pilgrimage
- Hukumu ya Muskiti wa Mtume (Rehma na Amani za Allah ziwe juu yake)
- Wanyama wanao chinjwa katika Udhuhiya
- Kuchinja kwenye idi kubwa
- What after Pilgrimage?
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Hududi
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Matters of New Muslim
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Elimu
- Ikhlas
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Ubora wa kuunga udugu na kuwafanyia wema wazazi
- Fadhila ya Koran Tukufu
- Ubora wa maswahaba
- Adabu mbali mbali
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Etiquette of Yawning
- Etiquette of Visiting People
- Etiquette of Market
- Etiquette of Hospitality
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Adabu za kutoa Chafya
- Adabu za kulala na kuamka
- Adabu za salamu
- Adabu za Ndoto
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Dua mbali mbali
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Introducing Islam
- Mahitaji ya binadamu kuhusu Uislamu
- Mazuri ya Uislamu
- Moderation vs Terrorism in Islam
- Nguzo ya Dini ya Kiislamu
- Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
- Haki za Wanyama katika Uislamu
- Kuwalingania wasiokua Waislamu
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- How to Embrace Islam
- Why They Embraced Islam? (New Muslims' Stories)
- Utata kuhusu Uislamu
- Fair Testimonies about Islam
- Mwenendo wa madai
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- Voluntary Deeds
- Issues That Muslims Need to Know
- Calling to Allah's Religion
- Arabic Language
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Islamic Civilization
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Khutba za mimbar
Sunna
Ukurasa huu unahisabika kuwa ukurasa mkubwa sana kuhusu sunna za nabii Muhammad (s.a.w), na elimu yake, kwa lugha za dunia, kwa sababu umekusanya zaidi ya lugha (90) za dunia, kwa nyanja mbali mbali, ikiwemo: vitabu vya hadithi, kanuni za hadithi na wapokezi, sherehe za hadithi na kubainisha mana zake.
Idadi ya Vipengele: 45
- Kiswahili Mwandishi : Dkt. Abdallah bin Hamud Alfareeh
SUNA ZA MTUME (SAW) NA NYIRADI ZAKE ZA KILA SIKU
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu kuangalia njia nzuri ya athari kuacha Athari nzuri kama alivyo iacha Mtume s.a.w. na Maswahaba zake r.a.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Namna uislamu ulivyo na hali mbaya kwa sasa kutokana na watu kuacha Sunna za Mtume (s.a.w), pia imefafanua maana ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni mjumbe wa Allah. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Utume, na kwamba Mitume wote (s.a.w) ni chaguo la Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia historia fupi ya Mtume Muhammad (s.a.w). Mada hii inazungumzia: Misingi ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah, na tofauti kati ya Mitume waliopita na Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia itikadi mbovu waliyonayo Mashi’a. Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayovunja (shahada) kushahidilia ya kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah, pia imezungumzia kwamba asiyemuamini Mtume Muhammad (s.a.w) ni kafiri na mafikio yake ni motoni. Mada hii inazungumzia: Wajibu wetu ni kumtii Mtume (s.a.w) na kumfuata, na imefafanua juu ya umuhimu wa kumtii Mtume (s.a.w) pia imezungumzia uzito wa Sunna za Mtume (s.a.w) na hasara za kwenda kinyume na Sunna zake. Mada hii inazungumzia: Kumfuata Mtume (s.a.w) ndio kuongoka, na kwamba kumpenda Allah kunafungamana na kumfuata Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kushikamana na Qur’an na Sunna, na hatari ya kufuata mazoea.
- Kingereza
- Thai common_publisher : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Ni nini Uislamu?: Kitabu hiki chawafaa wasiokua waislamu, kinatoa elimu kuhusu Uislamu na Waislamu na baadhi ya mambo ya kielimu ya kweli ambayo yamethibitishwa na Qur-an na Sunna.
- Kiswahili Mwandishi : Abdul Aziz bin Abdullah bin Baaz
Uwajibu wa kuzifanyia kazi Sunnah za Mtume Rehma na amani za Allah ziwe juu yake na ukafiri wa mwenye kuzikanusha
- Kiswahili
Kitabu Riyaadhu Swalihin kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili, kimeandikwa na Imam Yahya Bin sharaf An Nawawy kutoka Damaskas, amekusanya katika kitabu hiki hadithi sahiihi za mtume Muhamad rehma na amani ziwe juu yake, na hadithi zimeeleza mambo yote ya itikadi, na maisha ,amezileta hadithi kwa mpangilio wa milango na vifungu, ili mada zake ziwe nyepesi kwa msomaji, na apate faida.
- Kiswahili
Mradi huu unalenga uwezeshaji wa kupatikana Uchambuzi wa kina na Tarjama zikizo wazi za Hadithi za Mtume zilizo sahihi https://hadeethenc.com/app/#/list-categories?lang=sw
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kwenda mapema msikitini, pia imezungumzia faidha ya swala ya jamaa na umuhimu wa kukumbuka neema za Allah kabla ya kuulizwa siku ya Qiyama.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu na ubora kwa mwanamke wa kiislamu kuswalia nyumbani, pia imezungumzia fadhila anazopata mtu anapokaa msikitini akisubiri kuswali.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Adabu za kumtembelea ndugu katika Uislamu na namna ya kumuandalia mgeni chakula, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwalea watoto katika malezi bora ya kiislamu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Sababu ya Qabil kumua ndugu yake Habil na namna alivyomzika, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kuua na umuhimu kwa muislamu kujutia madhambi.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujitolea damu na kumuongezea mgonjwa na kwamba kumuona na kumsaidia mgonjwa ni sababu ya kupatana kwa watu waliokosana, pia imezungumzi umuhimu wa waislamu kuwa kitu kimoja
Follow us: