Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Mavazi na mapambo

katika uislamu kuna mavazi ambayo muislamu yatakiwa avae yalio katika viwango vya stara na sio kujivalia tu kama baadhi ya watu wanavyo vaa anatembea anadhani kavaa kumbe yupo uchi kabisa, pia mapambo yanafaa katika uislamu haswa kwa wanawake, wajipambe kwaajili ya waume zao nasio vinginevyo.

Idadi ya Vipengele: 2

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1