- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Shirki
- Ukafiri
- Unaafiki
- Uislamu
- Mambo ya Imani
- Imani
- Ihsani (Wema)
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Reform Movements
- Books on Islamic Creed
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Hukumu ya Swala
- Adhana na Iqama
- Nyakati za Swala Tano
- Masharti ya Swala
- Nguzo za Swala
- Yalio wajibu katika Swala
- Sunna za Swala
- Sifa ya Swala
- Nyiradi za Baada ya Swala Tano
- Yanayo Batilisha Swala
- Swala ya jamaa
- Sijida ya Kusahau
- Prostration of Recitation
- Prostration of Gratitude
- masharti ya Uimamu
- Swala za watu wenye udhuru mbali mbali
- Friday Prayer
- Supererogatory Prayers
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu ya Muskiti wa Makkah
- Mipaka
- Kuhirimia
- Namna za Ibada
- Sifa ya Umra
- Sifa ya Hijja
- Deputizing in Pilgrimage
- Disability or Falling Short of Completing Pilgrimage
- Hukumu ya Muskiti wa Mtume (Rehma na Amani za Allah ziwe juu yake)
- Wanyama wanao chinjwa katika Udhuhiya
- Kuchinja kwenye idi kubwa
- What after Pilgrimage?
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Hududi
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Matters of New Muslim
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Elimu
- Ikhlas
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Ubora wa kuunga udugu na kuwafanyia wema wazazi
- Fadhila ya Koran Tukufu
- Ubora wa maswahaba
- Adabu mbali mbali
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Etiquette of Yawning
- Etiquette of Visiting People
- Etiquette of Market
- Etiquette of Hospitality
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Adabu za kutoa Chafya
- Adabu za kulala na kuamka
- Adabu za salamu
- Adabu za Ndoto
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Dua mbali mbali
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Introducing Islam
- Mahitaji ya binadamu kuhusu Uislamu
- Mazuri ya Uislamu
- Moderation vs Terrorism in Islam
- Nguzo ya Dini ya Kiislamu
- Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
- Haki za Wanyama katika Uislamu
- Kuwalingania wasiokua Waislamu
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- How to Embrace Islam
- Why They Embraced Islam? (New Muslims' Stories)
- Utata kuhusu Uislamu
- Fair Testimonies about Islam
- Mwenendo wa madai
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- Voluntary Deeds
- Issues That Muslims Need to Know
- Calling to Allah's Religion
- Arabic Language
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Islamic Civilization
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Khutba za mimbar
Sifa ya Hijja
Idadi ya Vipengele: 15
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mapenzi ya Allah juu ya waja wake na kwamba siku ya Arafa ni sababu ya waja kurudi kwa Mola wao pamoja na kulia sana, pia imezungumzia siku ya Arafa Allah anakuwa karibu na waja wake.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Ubora wa siku ya Arafa na kwamba ni siku ya kutubia na kuomba dua pamoja na kufanya tasbihi sana, pia imezungumzia umuhimu wa kuwa na yakini na kuto kata tamaa kwani Rehma ya Allah ni pana.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Inazungumzia maana ya Arafa na Aya iliyoshuka kwa Mtume (s.a.w) alipokuwa Arafa, pia imezungumzia Arafa ni siku ambayo watu wanaachwa huru na moto.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Maana ya Hijja kilugha na kisheria, na ni nguzo katika nguzo tano za uislam, pia imebainisha kwamba Hijja ni fardhi inatekelezwa mara moja katika umri. 2- Mada hii inazungumzia: Umuhimu kwa mwenye kuhiji kuwa na nia thabiti pamoja na kujikurubisha kwa Allah, pia imezungumzia mambo ya kujifunza katika ibada ya Hijja na tahadhari ya kuiga uzushi. 3- Mada hii inazungumzia: Hijja na Umra na fadhila zake pamoja na alama za mwenye kufanya Hijja ya kweli, pia imezungumzia kwamba Hijja ni fardhi kwa waislam wote wanaume na wanawake. 4- Mada hii inazungumzia: Aina za maandalizi ya Hijja na imefafanua kuhusu Hijja ya mtoto mdogo, pia imezungumzia umuhimu wa kuchunga utaratibu na makatazo baada ya Ihram. 5- Mada hii inazungumzia: Namna Mtume (s.a.w) alivyoruhusu kumuhijia mzazi asiyejiweza kutokana na uzee au ugonjwa, na kwamba inafaa mwanaume kumuhijia mwanamke na mwanamke kumuhijia mwanaume, pia mada hii ina maswali na majibu.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Matendo yanayofanywa katika siku za Minah (ayyamu Tashriq) na namna ya kurusha mawe (Jamarat) pia imezungumzia umuhimu wa kulala mina kama alivyofanya Mtume (s.a.w) na ubora wa kujiepusha na uzushi.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kutekeleza ibada ya Hijja na kwamba ni miongoni mwa ibada bora na nguzo ya tano ya Uislam, pia imezungumzia yanayofanya Hijja iwe sahihi ikiwemo kujifunza utaratibu wa Hijja, ikhlasi na kufuata sunna za Mtume (s.a.w)
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia Siku ya Arafa, ubora wake, nakwamba Allah anashuka na kuwasogelea kwa waliosimama katika viwanja vya Arafa, na Allah anajifakhari kwa malaika, na yanayo takiwa kufanywa nawale ambao hawako katika viwanja vya Arafa.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
1- Mada hii inazungumzia Siku ya Arafa, maana yake na umuhimu wa kuomba dua katika siku hiyo, na amejibu kuhusu utata juu ya siku ya arafa na siku ya Iddi al Adhha nawale wasiofunga siku ya arafa bali wanafunga siku ya kuchinja. 2- Mada hii inazungumzia Majibu ya utata wa Arafa na hijja, amebainisha kuwa hija ilikuwepo tangu wakati wa nabii Ibrahim haikuwa faradhi, amefafanua mafungaamano ya Arafa na mwezi Dhulhijah, na Arafa ya mtu wa China na Est Africa, na mafungamano ya swala ya iddi na kupiga mawe na kuchinja kwa mahojaji . 3- Mada hii inazungumzia Majibu ya utata wa Arafa na hijja, amebainisha kuwa watu wanafuata mahujaji katika takbira, na kuchinja ili wafuate watu wa mina, na ametaja Qauli za wanachuoni kuhusu mafungamano ya hija na matendo ya wasiokuwa mahujaji.
- Kiswahili Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia hatua zote anazopitia mtu mwenye kufanya Hjjah, na mwenye kufanya Umrah.
- Kiswahili Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaongelea makosa yanayofanywa na baadhi ya mahujaji, na usahihi wake.
- Kiswahili Mwandishi : Abubakari Shabani Rukonkwa
Makala hii inazungumzia hukumu za hija tangu alhaji kufika makkah mpaka anamaliza ibada ya hija.
- Kiswahili
- Kiarabu
Katika kipindi hiki tunabainisha nguzo ya tano katika nguzo za Uislamu, nimlolongo katika vipindi vya sheikh Omar bin Abdallah Almuqbil- Allah amlipe kheri- kuhusu hijja na yanayo fungamana na hijja kuhusu hukumu mbalimbali na usio na muongozo, kwa toleo la wizara inayo shuhulikia mambo ya uislamu na ulinganiaji na maelekezo katika nchi ya saudi arabia mwaka 1434 هـ.
- Kiswahili
Follow us: