Mada hii inazungumzia hukumu ya kutowa zakatul fitri na Yule ambae niwajibu kwake kutowa,hukumu yakutowa thamani yake,faida ya zakatul alfitwir,na aina ya chakula kinachotakiwa kutolewa,na kiwango chake.
Mada hii inazungumzia hukumu za zakatul fitri,na vyakula vinavyo faa kutolewa zakatul fitri,faida za zakatul fitri,nawatu wanaopaswa kupewa zakatul fitri.na muda wakutolewa zakatul fitri.
Mada hii inazungumzia swala ya tarawehe, na tofauti ya tarawehe na qiyamu layli, na tahajudi na witri,na muanzilishi wa tarawehe,na historia yake.na hukumu ya zakatul fitri.