- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Books on Islamic Creed
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Hukumu ya Swala
- Adhana na Iqama
- Nyakati za Swala Tano
- Masharti ya Swala
- Nguzo za Swala
- Yalio wajibu katika Swala
- Sunna za Swala
- Sifa ya Swala
- Nyiradi za Baada ya Swala Tano
- Yanayo Batilisha Swala
- Sijida ya Kusahau
- Prostration of Recitation
- Prostration of Gratitude
- masharti ya Uimamu
- Friday Prayer
- Swala ya jamaa
- Swala za watu wenye udhuru mbali mbali
- Supererogatory Prayers
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Hududi
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Matters of New Muslim
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Etiquette of Yawning
- Etiquette of Visiting People
- Etiquette of Market
- Etiquette of Hospitality
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za salamu
- Adabu za kula na kunywa
- Adabu za kutoa Chafya
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu za Ndoto
- Dua mbali mbali
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Arabic Language
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Islamic Civilization
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- General Public of Muslims
Mazuri ya Uislamu
Ndani ya uislamu kuna mambo mazuri mazuri sana yeyote atakae yafanyia kazi itakuwa ni sababu ya kuingia peponi kwa mapenzi ya Allha, ikiwemo kumuamini Mwenyezi Mungu na kuto mshirikisha na chochote na kumuamini mtume wake Muhammad (s.a.w), na kuswali sala tano, kutoa zakka, kufunga ramadhani, kwenda hijjah, nk....
Idadi ya Vipengele: 12
- Kiswahili Mwandishi : Bilal Philips
Yaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
- Kiswahili
- Kiswahili Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Uislamu aliokuja nao Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na namna alivyolingania watu katika uislamu na huruma kwa umma wake, na uislam haikuja kwa upanga.
- Kiswahili Mwandishi : Muhammad bin Abdul-Wahhab
Kitabu hiki kilicho tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili, kinazungumzia: Maana ya uislamu, ubora wa uislamu na uwajibu wa kuingia katika uislamu.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia uislam nidini ya kati nakati,yani nidini ya uadilifu, na namna uislam ulivyo piga vita ghuluu.mifano ya uadilifu wa mtume(s.a.w)na tofauti baina ya uislam na dini zingine potovu.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kwamba Uislam upo katika Maumbile ya mwanadamu na ndio asili alio umbiwa mwanadamu, kisha akataja dalili nyingi kuhusu hilo.
- Kiswahili Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu katika uislam amezungumzia maana ya haki na umuhimu wa kujuwa haki za binadamu na ulazima wa kuzilinda, pia ametaja haki tano katika Quraan kwa ujumla. • Mda hii inazungumzia: maana ya binadamu na maana ya uislam, na ametaja mafundisho ya uislam kuhusu haki za binadamu. • Amezungumza kuwa uislam ndio wakwanza kufundisha haki za binadam, Haki ya kwanza (Haki ya kuishi). • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kujiua na niharam kutumia kitu ambacho kitamsababishia kifo, kama kuvuta sigara na pombe nk, pia amezungumzia haki ya pili (Kulinda mali za watu) na uharam wa kudhulumiana. • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kudhulumiana na chanzo chake, pia amezungumzia uharam wa kula riba na njama za nchi zilizo endelea katika kula riba, pia kazungumzia uharam wa kula rushwa, na dhulma nimaradhi yanayo ambukiza. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo mwanamke kuheshimiwa utu wake, amebainisha hali ya mwanamke kabla ya uislam, na jinsi uislam ulivyo linda heshima ya mwanamke, kabainisha jinsi mwanamke anavyo dhalilisha mwanamke katika karne ya 21. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo haki ya kuabudu, na amebainisha kuwa hakuna kulazimishana, kasha akataja hali ya ulinganiaji wakati wa mtume na uongo wa wale wanao sema uislam ulienezwa kwa upanga, bali uislam uliingia kwa hoja zenye nguvu. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu nayo nihaki ya mwanadamu kuwa huru, na msingi wa uhuru wa binadamu, ambayo inatolewa katika maneno ya Omar bin Khatwabi (r.a).
- Kiswahili Mwandishi : Abdul Rahman bin Abdul Karim Sheihah
---------
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.
- Kiswahili Mhadhiri : HAMZA RAJABU SEYFU Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazunguzia Mipaka ya kuheshimiyana baina ya waislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba ya idi inazungumzia muislam alie fanikiwa na kwamba uislam ndio dini ya haki,na maaduwi wa uislam katika historia,na habari njema kwa waislam.