- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Shirki
- Ukafiri
- Unaafiki
- Uislamu
- Mambo ya Imani
- Imani
- Ihsani (Wema)
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Reform Movements
- Books on Islamic Creed
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Hukumu ya Swala
- Adhana na Iqama
- Nyakati za Swala Tano
- Masharti ya Swala
- Nguzo za Swala
- Yalio wajibu katika Swala
- Sunna za Swala
- Sifa ya Swala
- Nyiradi za Baada ya Swala Tano
- Yanayo Batilisha Swala
- Swala ya jamaa
- Sijida ya Kusahau
- Prostration of Recitation
- Prostration of Gratitude
- masharti ya Uimamu
- Swala za watu wenye udhuru mbali mbali
- Friday Prayer
- Supererogatory Prayers
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu ya Muskiti wa Makkah
- Mipaka
- Kuhirimia
- Namna za Ibada
- Sifa ya Umra
- Sifa ya Hijja
- Deputizing in Pilgrimage
- Disability or Falling Short of Completing Pilgrimage
- Hukumu ya Muskiti wa Mtume (Rehma na Amani za Allah ziwe juu yake)
- Wanyama wanao chinjwa katika Udhuhiya
- Kuchinja kwenye idi kubwa
- What after Pilgrimage?
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Hududi
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Matters of New Muslim
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Elimu
- Ikhlas
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Ubora wa kuunga udugu na kuwafanyia wema wazazi
- Fadhila ya Koran Tukufu
- Ubora wa maswahaba
- Adabu mbali mbali
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Etiquette of Yawning
- Etiquette of Visiting People
- Etiquette of Market
- Etiquette of Hospitality
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Adabu za kutoa Chafya
- Adabu za kulala na kuamka
- Adabu za salamu
- Adabu za Ndoto
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Dua mbali mbali
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Introducing Islam
- Mahitaji ya binadamu kuhusu Uislamu
- Mazuri ya Uislamu
- Moderation vs Terrorism in Islam
- Nguzo ya Dini ya Kiislamu
- Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
- Haki za Wanyama katika Uislamu
- Kuwalingania wasiokua Waislamu
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- How to Embrace Islam
- Why They Embraced Islam? (New Muslims' Stories)
- Utata kuhusu Uislamu
- Fair Testimonies about Islam
- Mwenendo wa madai
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- Voluntary Deeds
- Issues That Muslims Need to Know
- Calling to Allah's Religion
- Arabic Language
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Islamic Civilization
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Khutba za mimbar
Mazuri ya Uislamu
Ndani ya uislamu kuna mambo mazuri mazuri sana yeyote atakae yafanyia kazi itakuwa ni sababu ya kuingia peponi kwa mapenzi ya Allha, ikiwemo kumuamini Mwenyezi Mungu na kuto mshirikisha na chochote na kumuamini mtume wake Muhammad (s.a.w), na kuswali sala tano, kutoa zakka, kufunga ramadhani, kwenda hijjah, nk....
Idadi ya Vipengele: 93
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Mazuri ya Uislamu
- Bengali common_publisher : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Mambo yenye thamani katika mazuri ya Uislamu: kuelezea baadhi ya mema ya Uislamu, na umuhimu wa kuzungumzia mada hii.
- Kifaransa Mwandishi : Bilal Philips
Dini sahihi: Kitabu kizuri sana kwa wale wanaotafuta haki, kitabu kinatwaongoza watafiti ktk njia sahihi, na kinaelezea kutafakari juu ya uhakika wa Dini, na kuelezea uhusiano kati ya Mola na Viumbe.
- Kiswahili Mwandishi : Bilal Philips
Yaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
- Kiarabu
- Kiswahili Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Uislamu aliokuja nao Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na namna alivyolingania watu katika uislamu na huruma kwa umma wake, na uislam haikuja kwa upanga.
- Kiswahili Mwandishi : Muhammad bin Abdul-Wahhab Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Kitabu hiki kilicho tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili, kinazungumzia: Maana ya uislamu, ubora wa uislamu na uwajibu wa kuingia katika uislamu.
- Amharic
Sehemu ya tatu katika mhadhara wa video kwa lugha ya Amhari kwa anuani: Huu ndio uislamu, na katika muhadhara huu kabainisha mlinganiaji ya kwamba uislamu ni dini iliyo kamilika na kwamba unahimiza usafi, ukawekwa utaratibu wa kutawadha na hukumu maalumu kwa wanawake na mengineyo katika hukumu za kujitwaharisha.
- Amharic
- Amharic
- Kibambari
- Terugu
- Kingereza
- Sinhalese
- Kiarabu
- Kiarabu Mhadhiri : Said Ali ibn Wahf AI-Qahtaani
Sherehe ya ubora wa Uislamu cha Sheikh Muhammad ibn Abdulwahab (r.h) kitabu hiki chazungumzia ubora wa uislamu na maana yake na yanayo faa na yasio faa na kuelezea mambo ya bidaa na umuhimu wa kuifuata sunna na mengi tofauti na hayo.
- Spanish common_publisher : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Kitabu kimetafsiriwa kwa lugha ya Ispania kikielezea kisa cha aliekuwa Padri namna alivyo upata uislamu, nakuwataka watu wengine wafikiria kwa Akili zao waache kusikiliza uongo wa watu dhidi ya Uislamu.
- Bengali
Kitabu kwa lugha ya Bangali, kinaelezea kuhusu Uislamu, nayo ni dini aliyo ichaguwa Mwenyezi Mungu kwa wajawake, na akawatuma mitume na kuteremsha vitabu, na akajaalia dini hiyo ni yenye kwenda na wakati kwa kila zama hadi siku ya mwisho, nilazima kwa kila mtu kufuata dini hiyo, na haitokubaliwa dini nyingine kinyume na Uislamu, na fadhilazake ni nyingi sana huwezi kuzihesabu...
- Spanish
- Kiarabu
Amesema Sheikh Swaleh bin Abdul-aziz Allah amlipe kheri, kuhusu risala inayo zungumzia ubora wa Uislam kitabu cha Sheikh Muhammad bin Abdulwahab (r.h), kitabu hiki muhimu sana katika vitabu alivyo andika sheikh, kinaelezea ubora wa uislamu, utukufu wake, namna ya kulingania,na kuelezea yanayofaa na yasiyofaa katika dini nk...
- Kingereza
Follow us: