Idadi ya Vipengele: 4
MP3 25 / 6 / 1436 , 15/4/2015
Mada hii inazungumzia: Namna Mwenyezi Mungu alivyo amrisha binadam wamuombe yeye, na umuhim wa dua, na subra katika mitihani ya Da’wa.
YOUTUBE 14 / 7 / 1437 , 22/4/2016
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuishi kwa kufuata mfumo wa kiislamu na kumuogopa Allah katika siri na bayana, pia imezungumzia hatari ya ubaguzi katika uislamu.
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanadamu kumcha Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia ulazima wa kuchunga mipaka ya Mwenyezi Mungu.
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislamu kudumu katika kufanya matendo mazuri, pia imezungumzia kujiandaa kutokana na safari ya mwisho (umauti).