Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 10

Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 10

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) kumruhusu bi Aisha (r.a) kwenda kwao wakati akisubiri suluhisho kutoka kwa Allah kutokana na uzushi aliozushiwa, pia imezungumzia kilio alicholia mama Aisha (r.a) mbele ya wazazi wake.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi