Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Maneno aliyosema mama Aisha (r.a) kabla ya kushuka Aya kwa Mtume (s.a.w) za kumtakasa kutokana na uchafu aliozushiwa, pia imezungumzia hatari ya kumzushia muislamu uchafu wa zinaa na kwamba ni katika madhambi makubwa.
-  1Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11 YOUTUBE 0 B 
-  2Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11 MP4 182.3 MB 2019-05-02 
-  3Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11 MP3 25.8 MB 2019-05-02