Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11

Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Maneno aliyosema mama Aisha (r.a) kabla ya kushuka Aya kwa Mtume (s.a.w) za kumtakasa kutokana na uchafu aliozushiwa, pia imezungumzia hatari ya kumzushia muislamu uchafu wa zinaa na kwamba ni katika madhambi makubwa.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi