Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 13

Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 13

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Nasaha kwa wanawake wote wa kiislamu kupitia mifano ya wanawake wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhumu wa kushikamana na dini na kujiepusha na tabia mbaya za kimagharibi.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi