Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 03

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 03

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi