Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 04
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 187.7 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.9 MB 2019-05-02